Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Siku ya mazingira duniani imeazimishwa kikamilifu jijini Dar es salaam pale Mwembe Yanga,Temeke huku wakazi wa maeneo hayo wakijitokeza kwa wingi sana. Mgeni rasmi wa sherehe hizo alikua Mh. January Makamba pamoja na Mh. Paul Makonda
                                             Mh. January Makamba na Mh. Paul Mkonda
Viongozi hao walitoa hotuba nzuri sana ambazo zilirenga hasa katika utunzaji wa mazingira na wote watakaoharibu mazingira watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Vijana wa YouthCan hawakua mbali katika kutoa burudani kwa nyimbo za mazingira ambazo zilionekana kupendwa na umati mkubwa uliokua umehudhuria katika shughuri hiyo.






Hizo ni baadhi ya picha zikiwaonyesha vijana wa YouthCan wakitoa burudani ya aina yake kwa wimbo na kucheza.

Burudani ilimfurahisha Mh January Makamba na kumfanya kuinuka katika kiti na kuja kuwapongeza vijana wa YouthCan.

Thanks For Visiting, Our Website Come Again For News, Advertisement And Good Articles

Keep This blog site In Your Mobile For More Updates

Facebook Blogger Plugin by Tanzaniastar
https://www.facebook.com/Tanzaniastar

Chapisha Maoni

 
Top