Imeonesha kua wananchi wa eneo hilo wanatumia maji ya mto na hawana desturi ya kuchemsha maji ya kunywa wala kuyatibu, Pia wananchi wengi hawana vyoo bora na wengine kutokua navyo kabsa hii ikapelekea serikali kupitia mtendaji wa kata kuweka tamko la mtu asiyekua na choo bora akamatwe na kupigwa faini ya sh 50,000/=, pia wamekua wakilalamika kukumbwa na malaria mara kwa mara yote hii ni kwa sababu, wanachimba madimbwi kwenye mto uliopungua maji, unaowazunguka na kuyaacha ambapo inapelekea mazalia ya mbu.







watoto wa kijiji cha mabula wakifundishwa jinsi ya kutumia kibuyu mchirizi
Mtendaji wa kata akihamasisha wananchi kua na vyoo bora kuepuka magonjwa ya kuhata na kipindupinduu kisiingie kwenye kata hiyo.

Bonza Mshana toka wizara ya afya (kibaha) akitoa elimu ya afya kwa wananchi wa mabula



Hiki choo kimekosa sifa 3 kua choo bora1. hakina paa
2. hakina mlango
3.hakina bomba la kutolea hewa
Facebook Blogger Plugin by Tanzaniastar






Chapisha Maoni