Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kampeni hii ilianza rasmi tarehe 11/9/2016 baada ya mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika ofisi za Norwegien Church Aid Mikocheni Dar es salaam mapema asubuhi kabla ya kuanza safari ya kwenda Singida.
Mradi huo unaosimamiwa na Afisa mradi kutoka Norwegien Church Aid Bwana Zakayo Makobelo alipata nafasi ya kuongea mbele ya waandishi wa habari na kuelezea mradi mzima kwa ujumla.

              
                Zakayo Makobero akitoa ufanunuzi kuhusu Mradi huo mbele ya waandishi wa habari
 Team nzima ya kampeni ya Mazingira salama na maji salama wakiwa mbele ya waandishi wa habari
            Rehema Yusufu ambaye ni katibu Mkuu wa YouthCan nae akitoa maelezo kuhusu mradi huo



 Mradi huo utawanufaisha Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga katika vijiji yya Ikonda, Ubata na Mwaweja.

Thanks For Visiting, Our Website Come Again For News, Advertisement And Good Articles

Keep This blog site In Your Mobile For More Updates

Facebook Blogger Plugin by Tanzaniastar
https://www.facebook.com/Tanzaniastar

Chapisha Maoni

 
Top